NAFASI YA BALOZI WA KUJITOLEA

May 06, 2017 Unknown 0 Comments






Katika muendelezo wa kuwawezesha vijana kiuchumi Taasisi YEMCO-(Youth Empowerment and Mindset Change Organization). Inawatangazia vijana ambao ni wanafunzi wa vyuo vikuu, walio nje ya taasisi za elimu na wale ambao ni wahitimu  nafasi ya kujitolea kama balozi kwenye taasisi yetu.

SIFA;

(i) Uwe kijana mwenye umri chini ya miaka 35

Namna ya Kujiunga;

Jaza form kupitia link ifuatayo

https://goo.gl/forms/gANAIvrjqlTu2A9t2

au unaweza kututumia Barua Pepe kupitia

yemcotz@gmail.com

Facebook; @YEMCO Tanzania

Tweeter; @YEMCOTZ

Instagram @YemcoTanzania

au kwa mawasiliano zaidi

+255655535689

+255654170110

+255756628773

Ama Fika Ofisini kwetu Sinza White Inn.

0 comments: