MAFUNZO YA WALIMU WA VICOBA

June 13, 2017 Unknown 0 Comments

 

Katika kuendeleza harakati za kufundisha Walimu ambao watakuwa tayari kwa ajili ya kutoa elimu ya mfumo Wa Vicoba Endelevu Tanzania,Taasisi ya Youth Empowerment and Mindset Change Organization(YEMCO) imeanza rasmi mafunzo hayo leo tarehe 8/05/2017 na yanatarajiwa kufikia kikomo tarehe 11/05/2017..




Akizungumza na waalimu hao wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mohamed Bassanga Mkurugenzi wa taasisi ya YEMCO amewasisitizia walimu hao wa VICOBA kusimamia sheria na taratibu za uendeshaji wa vikundi endelevu vya VICOBA na kuepuka kufanya udanganyifu wowote kwani serikali imetilia mkazo juu ya sheria hizo










inatangaza kuanza usajili Wa mafunzo ya Walimu Wa Vicoba awamu ya tatu.Mafunzo yatafanyika tar 15-18/5/2017 kuanzia SAA NNE kamili hadi SAA kumi jioni.Makao makuu ya YEMCO-Sinza white inn.

0 comments: